11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
29 “‘Na hii ndiyo ishara kwenu,’+ asema Yehova, ‘kwamba ninakaza fikira zangu juu yenu katika mahali hapa, ili mpate kujua kwamba maneno yangu bila shaka yatatimia juu yenu kwa ajili ya msiba:+