1 Samweli 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+ 1 Samweli 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na itakuwa kwamba ishara+ hizo zitakapokuja juu yako, jifanyie lile ambalo mkono wako unaweza,+ kwa sababu Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.+ 2 Wafalme 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Isaya akasema: “Hii ndiyo ishara+ kwa ajili yako kutoka kwa Yehova kwamba Yehova atatenda neno ambalo amesema: Je, kivuli kiende mbele vipandio kumi vya ngazi au kirudi nyuma vipandio kumi?”
34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+
7 Na itakuwa kwamba ishara+ hizo zitakapokuja juu yako, jifanyie lile ambalo mkono wako unaweza,+ kwa sababu Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.+
9 Isaya akasema: “Hii ndiyo ishara+ kwa ajili yako kutoka kwa Yehova kwamba Yehova atatenda neno ambalo amesema: Je, kivuli kiende mbele vipandio kumi vya ngazi au kirudi nyuma vipandio kumi?”