8 “Na itakuwa kwamba,” kama alivyosema, “ikiwa hawatakuamini wala kuisikiliza sauti ya ishara ya kwanza, basi hakika wataiamini sauti ya ishara hiyo ya baadaye.+
9 Na ikawa kwamba mara tu alipogeuza bega lake aende zake kutoka kwa Samweli, Mungu akaanza kuubadili moyo wake uwe mwingine;+ na ishara+ hizo zote zikatimia siku hiyo.
29 “‘Na hii ndiyo ishara kwenu,’+ asema Yehova, ‘kwamba ninakaza fikira zangu juu yenu katika mahali hapa, ili mpate kujua kwamba maneno yangu bila shaka yatatimia juu yenu kwa ajili ya msiba:+