Yohana 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini ikiwa ninazitenda, hata ingawa hamniamini, iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano pamoja na mimi, nami niko katika muungano pamoja na Baba.”+ Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+
38 Lakini ikiwa ninazitenda, hata ingawa hamniamini, iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano pamoja na mimi, nami niko katika muungano pamoja na Baba.”+
36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+