1 Samweli 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na roho+ ya Yehova hakika itaanza kutenda kazi juu yako, kisha utasema kama nabii+ pamoja nao, nawe utabadilishwa uwe mtu mwingine. 1 Wafalme 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tazama! Hakika nitafanya kulingana na maneno yako.+ Tazama! Mimi hakika nitakupa moyo wenye hekima na wenye uelewaji,+ hivi kwamba hakuna mmoja kama wewe ambaye amekuwako kabla yako, na baada yako hatasimama mwingine kama wewe.+ Zaburi 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Uumbe moyo safi ndani yangu, Ee Mungu,+Na kuweka ndani yangu roho mpya, iliyo imara.+
6 Na roho+ ya Yehova hakika itaanza kutenda kazi juu yako, kisha utasema kama nabii+ pamoja nao, nawe utabadilishwa uwe mtu mwingine.
12 tazama! Hakika nitafanya kulingana na maneno yako.+ Tazama! Mimi hakika nitakupa moyo wenye hekima na wenye uelewaji,+ hivi kwamba hakuna mmoja kama wewe ambaye amekuwako kabla yako, na baada yako hatasimama mwingine kama wewe.+