5 Kwa maana wao pamoja na mifugo yao walikuwa wakija na mahema yao. Walikuja wakiwa wengi kama nzige,+ na wao pamoja na ngamia zao hawakuwa na hesabu;+ nao walikuwa wakiingia katika nchi ili kuiharibu.+
15 Hata huko utateketezwa na moto. Upanga utakukatilia mbali.+ Nawe utaliwa na upanga kama nzige+ wachanga wanavyokula. Jifanye kuwa hesabu kubwa kama nzige wachanga; jifanye kuwa hesabu kubwa kama nzige.