Malaki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mkikataa kusikiliza na kuitia moyoni mwenu ili kulitukuza jina langu,” asema Yehova wa majeshi, “nitawaletea laana,+ nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.+ Naam, nimebadili baraka ziwe laana, kwa sababu hamwitii moyoni mwenu.” Malaki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:2 w07 12/15 26; w02 5/1 14 Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:2 Mnara wa Mlinzi,12/15/2007, uku. 265/1/2002, uku. 14
2 Mkikataa kusikiliza na kuitia moyoni mwenu ili kulitukuza jina langu,” asema Yehova wa majeshi, “nitawaletea laana,+ nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.+ Naam, nimebadili baraka ziwe laana, kwa sababu hamwitii moyoni mwenu.”