Yeremia 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.
17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.