Yeremia 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mkikataa kusikiliza,Nitalia* kisiri kwa sababu ya kiburi chenu. Nitatoa machozi mengi, na macho yangu yatabubujika machozi,+Kwa sababu kondoo wa Yehova+ wamechukuliwa mateka.
17 Nanyi mkikataa kusikiliza,Nitalia* kisiri kwa sababu ya kiburi chenu. Nitatoa machozi mengi, na macho yangu yatabubujika machozi,+Kwa sababu kondoo wa Yehova+ wamechukuliwa mateka.