Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Basi mfalme akamfanya Danieli kuwa mtu mkuu,+ akampa zawadi nyingi kubwa, naye akamfanya kuwa mtawala juu ya wilaya yote ya utawala ya Babiloni na mkuu wa manaibu wa maliwali juu ya watu wote wenye hekima wa Babiloni.+

  • Danieli 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Danieli akaletwa mbele ya mfalme. Mfalme akasema na kumuuliza Danieli: “Je, wewe ndiye Danieli ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ ambao baba yangu mfalme aliwatoa Yuda?+

  • Danieli 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki