Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Abrahamu akajibu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka mahali hapa hawamwogopi Mungu.+ Nao hakika wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+

  • Mwanzo 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akaendelea kusema: “Usinyooshe mkono wako juu ya huyo mvulana wala usimtendee jambo lolote kamwe,+ kwa maana sasa mimi najua kwamba wewe unamwogopa Mungu kwa kuwa hukunizuilia mwana wako, mwana wako wa pekee.”+

  • Mambo ya Walawi 25:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Hutamkanyagia chini kwa uonevu,+ nawe utamwogopa Mungu wako.+

  • 1 Samweli 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ila tu mwogopeni+ Yehova, nanyi mkamtumikie katika kweli kwa moyo wenu wote;+ kwa maana angalieni jinsi amewafanyia mambo makuu.+

  • Nehemia 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+

  • Methali 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Matendo 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo, kwa kweli, kutaniko+ kotekote katika Yudea na Galilaya na Samaria likaingia katika kipindi cha amani, likijengwa; nalo lilipokuwa likitembea katika kumwogopa Yehova+ na katika faraja ya roho takatifu+ likaendelea kuongezeka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki