1 Samweli 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+ Matendo 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ‘Mimi ni Mungu wa mababu zako, Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo.’+ Akitetemeka, Musa hakuthubutu kuchunguza zaidi.
27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+
32 ‘Mimi ni Mungu wa mababu zako, Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo.’+ Akitetemeka, Musa hakuthubutu kuchunguza zaidi.