Kutoka 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Musa naye akasema: “Je, Haruni Mlawi si ndugu yako?+ Najua kwamba anaweza kuongea kwelikweli. Na tena, tazama, yuko njiani akija kukupokea. Atakapokuona, hakika atashangilia moyoni mwake.+ Kutoka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha Yehova akamwambia Haruni: “Nenda ukakutane na Musa nyikani.”+ Basi akaenda akakutana naye katika mlima wa Mungu wa kweli,+ akambusu.
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Musa naye akasema: “Je, Haruni Mlawi si ndugu yako?+ Najua kwamba anaweza kuongea kwelikweli. Na tena, tazama, yuko njiani akija kukupokea. Atakapokuona, hakika atashangilia moyoni mwake.+
27 Kisha Yehova akamwambia Haruni: “Nenda ukakutane na Musa nyikani.”+ Basi akaenda akakutana naye katika mlima wa Mungu wa kweli,+ akambusu.