Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Musa akawa mchungaji wa kundi la Yethro,+ kuhani wa Midiani, aliyekuwa mwana-mkwe wake.+ Alipokuwa akiliongoza kundi kuelekea upande wa magharibi wa nyika, mwishowe akafika kwenye mlima wa Mungu wa kweli,+ Horebu.+

  • Kutoka 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+

  • Kutoka 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na utukufu+ wa Yehova ukaendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ nalo wingu likaendelea kuufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.+

  • 1 Wafalme 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi akaamka, akala na kunywa, naye akazidi kwenda katika nguvu za chakula kile kwa siku 40,+ mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki