Kutoka 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Musa akaingia katikati ya wingu na kwenda juu katika mlima.+ Naye Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+ Kumbukumbu la Torati 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,) Luka 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa siku 40,+ alipokuwa akijaribiwa+ na Ibilisi. Zaidi ya hayo, hakula chochote katika siku hizo, na kwa hiyo, zilipomalizika, akaona njaa.
18 Kisha Musa akaingia katikati ya wingu na kwenda juu katika mlima.+ Naye Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+
9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,)
2 kwa siku 40,+ alipokuwa akijaribiwa+ na Ibilisi. Zaidi ya hayo, hakula chochote katika siku hizo, na kwa hiyo, zilipomalizika, akaona njaa.