Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,)

  • 1 Wafalme 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi akaamka, akala na kunywa, naye akazidi kwenda katika nguvu za chakula kile kwa siku 40,+ mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Mathayo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alipokuwa amefunga siku 40,+ mchana na usiku, akaona njaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki