-
2 Mambo ya Nyakati 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na mara tu Asa alipoyasikia maneno hayo na unabii wa Odedi+ nabii, akajipa moyo, akaondoa kabisa machukizo+ katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na katika majiji aliyokuwa ameteka kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kuifanya upya madhabahu ya Yehova iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Yehova.+
-