Ezekieli 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha nikawaambia, ‘Lazima kila mmoja wenu atupe vitu vinavyochukiza vilivyo mbele ya macho yake; msijitie unajisi kwa sanamu zinazochukiza* za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+
7 Kisha nikawaambia, ‘Lazima kila mmoja wenu atupe vitu vinavyochukiza vilivyo mbele ya macho yake; msijitie unajisi kwa sanamu zinazochukiza* za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+