Yeremia 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+
18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+