Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.

  • Ezra 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+

  • Yeremia 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki