Mathayo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, ikiwa mkono wako au mguu wako unakufanya ukwazike, ukate na kuutupa mbali nawe;+ ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema au ukiwa kiwete kuliko kutupwa ndani ya moto wa milele ukiwa na mikono miwili au miguu miwili.+ Luka 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Taa ya mwili ni jicho lako. Jicho lako linapokuwa rahisi, mwili wako wote huwa mwangavu+ pia; lakini linapokuwa bovu, mwili wako huwa na giza pia.
8 Basi, ikiwa mkono wako au mguu wako unakufanya ukwazike, ukate na kuutupa mbali nawe;+ ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema au ukiwa kiwete kuliko kutupwa ndani ya moto wa milele ukiwa na mikono miwili au miguu miwili.+
34 Taa ya mwili ni jicho lako. Jicho lako linapokuwa rahisi, mwili wako wote huwa mwangavu+ pia; lakini linapokuwa bovu, mwili wako huwa na giza pia.