18 kufungua macho+ yao, kuwageuza kutoka katika giza+ kuingia katika nuru+ na kutoka katika mamlaka ya Shetani+ na kumgeukia Mungu, kusudi wapokee msamaha wa dhambi+ na urithi+ kati ya wale waliotakaswa+ kwa imani yao kwangu.’
18 macho+ ya moyo wenu yakiwa yametiwa nuru,+ ili mjue jinsi lilivyo lile tumaini+ alilowaitia, jinsi ulivyo utajiri wenye utukufu+ ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+