Methali 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Macho yako yatazame mbele moja kwa moja,+ naam, macho yako yenye kung’aa yanapaswa kutazama mbele yako moja kwa moja.+ Luka 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Taa ya mwili ni jicho lako. Jicho lako linapokuwa rahisi, mwili wako wote huwa mwangavu+ pia; lakini linapokuwa bovu, mwili wako huwa na giza pia. Waefeso 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 macho+ ya moyo wenu yakiwa yametiwa nuru,+ ili mjue jinsi lilivyo lile tumaini+ alilowaitia, jinsi ulivyo utajiri wenye utukufu+ ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+
25 Macho yako yatazame mbele moja kwa moja,+ naam, macho yako yenye kung’aa yanapaswa kutazama mbele yako moja kwa moja.+
34 Taa ya mwili ni jicho lako. Jicho lako linapokuwa rahisi, mwili wako wote huwa mwangavu+ pia; lakini linapokuwa bovu, mwili wako huwa na giza pia.
18 macho+ ya moyo wenu yakiwa yametiwa nuru,+ ili mjue jinsi lilivyo lile tumaini+ alilowaitia, jinsi ulivyo utajiri wenye utukufu+ ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+