Ezekieli 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Sasa waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, mnajichafua kama mababu zenu walivyofanya kwa kuzifuata sanamu zao zinazochukiza ili kufanya nazo ukahaba wa kiroho?+
30 “Sasa waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, mnajichafua kama mababu zenu walivyofanya kwa kuzifuata sanamu zao zinazochukiza ili kufanya nazo ukahaba wa kiroho?+