Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata hivyo mwamuzi huyo alipokufa, walitenda tena mambo maovu zaidi kuliko baba zao kwa kuifuata miungu mingine, kuiabudu na kuiinamia.+ Hawakuacha mazoea yao na tabia yao ya ukaidi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini unafuata njia ya wafalme wa Israeli+ na kusababisha watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wafanye ukahaba wa kiroho+ kama ukahaba uliofanywa na nyumba ya Ahabu,+ na hata uliwaua ndugu zako mwenyewe,+ watu wa nyumba ya baba yako, waliokuwa bora kuliko wewe.

  • Yeremia 13:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo, nitainua nguo yako juu ya uso wako,

      Na aibu yako itaonekana,+

      27 Matendo yako ya uzinzi+ na kilio chako cha uchu,

      Ukahaba wako uliopotoka.*

      Juu ya vilima, katika mashamba,

      Nimeyaona matendo yako yanayochukiza.+

      Ole wako, Ee Yerusalemu!

      Utaendelea kuwa mchafu mpaka lini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki