26 Kwa hiyo, nitainua nguo yako juu ya uso wako,
Na aibu yako itaonekana,+
27 Matendo yako ya uzinzi+ na kilio chako cha uchu,
Ukahaba wako uliopotoka.
Juu ya vilima, katika mashamba,
Nimeyaona matendo yako yanayochukiza.+
Ole wako, Ee Yerusalemu!
Utaendelea kuwa mchafu mpaka lini?”+