Yeremia 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+Na kuzikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+ Ezekieli 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Lakini ulianza kuutumaini urembo wako,+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya sifa zako.+ Ulimmwagia kila mpita-njia matendo yako ya ukahaba,+ na urembo wako ukawa wake.
20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+Na kuzikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+
15 “‘Lakini ulianza kuutumaini urembo wako,+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya sifa zako.+ Ulimmwagia kila mpita-njia matendo yako ya ukahaba,+ na urembo wako ukawa wake.