Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Sulemani akamfuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni, na Milkomu,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.

  • 1 Wafalme 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati huo ndipo Sulemani alipojenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi, mungu mwenye kuchukiza wa Moabu, kwenye mlima uliokuwa mbele ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.+

  • Zaburi 106:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini walichangamana na mataifa hayo+

      Na kuzikubali* njia zao.+

      36 Waliendelea kuabudu sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

  • Isaya 57:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ulikitayarisha kitanda chako juu ya mlima mrefu ulioinuka,+

      Nawe ukapanda huko ili kutoa dhabihu.+

       8 Uliweka ukumbusho wako nyuma ya mlango na nyuma ya mwimo wa mlango.

      Uliniacha nawe ukajifunua;

      Ulipanda huko na kukipanua kitanda chako.

      Nawe ukafanya agano pamoja nao.

      Ulipenda kulala nao kitandani mwao,+

      Nawe ulikitazama kiungo cha kiume.*

  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+

      Na kuzikata pingu zako.

      Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”

      Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+

      Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+

  • Yakobo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi wazinzi,* je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu? Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki