Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Usikubali mtoto wako yeyote atolewe dhabihu kwa Moleki.+ Usilichafue jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova. Matendo 7:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Bali mlilichukua hema la Moloki+ na nyota ya mungu Refani, sanamu mlizotengeneza ili kuziabudu. Kwa hiyo nitawahamishia ng’ambo ya Babiloni.’+
21 “‘Usikubali mtoto wako yeyote atolewe dhabihu kwa Moleki.+ Usilichafue jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova.
43 Bali mlilichukua hema la Moloki+ na nyota ya mungu Refani, sanamu mlizotengeneza ili kuziabudu. Kwa hiyo nitawahamishia ng’ambo ya Babiloni.’+