25 Je, uliniletea dhabihu na matoleo ya zawadi
Kwa miaka 40 uliyokuwa nyikani, Ee nyumba ya Israeli?+
26 Sasa mtalazimika kumchukua Sakuthi mfalme wenu na Kaiwani,
Sanamu zenu, nyota ya mungu wenu ambaye mlijitengenezea,
27 Nami nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Damasko,’+ anasema yeye ambaye jina lake ni Yehova Mungu wa majeshi.”+