Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakaabudu* Mabaali.+

  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakamwacha Yehova na kuabudu Baali na sanamu za Ashtorethi.+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kuabudu Mabaali,+ sanamu za Ashtorethi, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamwacha Yehova wala hawakuendelea kumtumikia.

  • 1 Samweli 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Samweli akaiambia nyumba yote ya Israeli: “Ikiwa mnamrudia Yehova kwa moyo wenu wote,+ ondoeni miungu ya kigeni+ na sanamu za Ashtorethi+ kutoka kati yenu, nanyi elekezeni moyo wenu kwa Yehova bila kuyumbayumba na kumtumikia yeye peke yake,+ naye atawaokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki