Kumbukumbu la Torati 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Mnapaswa kumwogopa Yehova Mungu wenu, na kumtumikia yeye,+ mnapaswa kushikamana naye, nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake. Kumbukumbu la Torati 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumwogopa yeye, mnapaswa kushika amri zake, mnapaswa kuisikiliza sauti yake; yeye ndiye mnayepaswa kumtumikia, nanyi mnapaswa kushikamana naye kabisa.+ Luka 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+
20 “Mnapaswa kumwogopa Yehova Mungu wenu, na kumtumikia yeye,+ mnapaswa kushikamana naye, nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.
4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumwogopa yeye, mnapaswa kushika amri zake, mnapaswa kuisikiliza sauti yake; yeye ndiye mnayepaswa kumtumikia, nanyi mnapaswa kushikamana naye kabisa.+
8 Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+