Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+

      Na kuzikata pingu zako.

      Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”

      Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+

      Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+

  • Ezekieli 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ukachukua baadhi ya mavazi yako na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali ambapo ulifanyia ukahaba+—mambo hayo hayapaswi kufanywa, wala hayapaswi kutendeka kamwe.

  • Ezekieli 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi wana wa Babiloni wakaendelea kuja kwenye kitanda chake cha mapenzi, nao wakamchafua kwa uchu wao.* Baada ya kuchafuliwa nao, akawaacha akiwa amechukizwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki