Ezekieli 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao wana wa Babiloni wakaendelea kumjia, kwenye kitanda cha wonyesho wa upendo, na kumtia unajisi kwa uasherati wao;+ nao wakaendelea kumtia unajisi, nayo nafsi yake ikaanza kugeukia mbali nao kwa kuchukizwa.
17 Nao wana wa Babiloni wakaendelea kumjia, kwenye kitanda cha wonyesho wa upendo, na kumtia unajisi kwa uasherati wao;+ nao wakaendelea kumtia unajisi, nayo nafsi yake ikaanza kugeukia mbali nao kwa kuchukizwa.