25 Ulijenga mahali pako pa juu sehemu zinazoonekana zaidi za kila barabara, nawe ukaugeuza urembo wako kuwa kitu kinachochukiza kwa kuutoa mwili wako* kwa kila mpita-njia,+ nawe ukazidisha matendo yako ya ukahaba.+
33 Watu huwapa zawadi makahaba wote,+ lakini wewe ndiye unayewapa zawadi wote walio na uchu kukuelekea,+ nawe unawapa rushwa ili waje kwako kutoka pande zote ili kufanya ukahaba.+
18 “Alipoendelea kufanya ukahaba kwa ushupavu na kufunua uchi wake,+ nilimwacha nikiwa nimechukizwa, kama nilivyomwacha dada yake nikiwa nimechukizwa.+