Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa ajili ya makosa yao na kwa ajili ya makosa ya mababu zao pia,”+ asema Yehova.

      “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milima

      Nao wamenishutumu juu ya vilima,+

      Kwanza nitawapimia malipo yao kamili.”*

  • Ezekieli 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova+ wakati waliouawa miongoni mwao watakapotapakaa kati ya sanamu zao zinazochukiza kuzunguka pande zote za madhabahu zao,+ juu ya kila kilima kirefu, juu ya vilele vyote vya milima, na chini ya kila mti wenye majani mengi, na chini ya matawi ya miti mikubwa, mahali ambapo wametoa dhabihu zenye harufu nzuri* ili kuzituliza sanamu zao zote zinazochukiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki