Waamuzi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+ Waamuzi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.
7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+
13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.