1 Samweli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao. 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:9 Ufahamu, kur. 734-735
9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao.