Waamuzi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti na Waamoni.+ Waamuzi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ na Yehova akawatia mikononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.
7 Basi hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti na Waamoni.+
13 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ na Yehova akawatia mikononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.