Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mlimsahau Mwamba,+ baba yenu aliyewazaa,

      Nanyi hamkumkumbuka Mungu aliyewazaa.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mtu mmoja angewezaje kuwakimbiza 1,000,

      Na wawili kuwafanya 10,000 wakimbie?+

      Kama Mwamba wao hangekuwa amewauza+

      Na Yehova kuwatia mikononi mwa maadui?

  • Waamuzi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki