14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+
9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao.