-
Kutoka 13:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi Farao alipowaruhusu Waisraeli waondoke, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa ilikuwa fupi. Kwa maana Mungu alisema: “Watu hawa wakikabili vita huenda wakabadili mawazo yao na kurudi Misri.”
-