Kutoka 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba wakati Farao alipowaruhusu watu waende zao, Mungu hakuwaongoza kupitia njia ya nchi ya Wafilisti kwa kuwa tu ilikuwa karibu, kwa maana Mungu alisema: “Huenda hao watu watajuta watakapoona vita nao hakika watarudi Misri.”+
17 Na ikawa kwamba wakati Farao alipowaruhusu watu waende zao, Mungu hakuwaongoza kupitia njia ya nchi ya Wafilisti kwa kuwa tu ilikuwa karibu, kwa maana Mungu alisema: “Huenda hao watu watajuta watakapoona vita nao hakika watarudi Misri.”+