21 Ndipo Yehoramu akasema: “Fungeni!”+ Basi gari lake la vita likafungwa, na Yehoramu mfalme wa Israeli na Ahazia+ mfalme wa Yuda wakatoka, kila mmoja wao akiwa ndani ya gari lake la vita. Walipoendelea kwenda kumpokea Yehu, wakamkuta katika sehemu ya shamba la Nabothi,+ Myezreeli.