21 Yehoramu akasema: “Fungeni farasi kwenye gari!” Basi farasi wakafungwa kwenye gari lake la vita, na Yehoramu mfalme wa Israeli na Ahazia+ mfalme wa Yuda wakaondoka kila mmoja kwenye gari lake la vita ili kukutana na Yehu. Wakakutana naye katika shamba la Nabothi,+ Myezreeli.