Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Mfalme Yehoramu wa Yuda akawa mfalme.+

  • 2 Wafalme 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo Mfalme Yehoramu akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kutoka kwa Wasiria huko Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+ Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akashuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Mungu alisababisha Ahazia aangamie alipokuja kwa Yehoramu; na alipokuja, alienda pamoja na Yehoramu kukutana na Yehu+ mjukuu* wa Nimshi, ambaye Yehova alikuwa amemtia mafuta ili awaangamize kabisa watu wa nyumba ya Ahabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki