-
2 Wafalme 9:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Basi Yehu akainuka na kuingia ndani ya nyumba; mtumishi huyo akammiminia yale mafuta juu ya kichwa na kumwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Ninakutia mafuta uwe mfalme wa watu wa Yehova, uwe mfalme wa Israeli.+ 7 Unapaswa kuiangamiza nyumba ya Ahabu bwana wako, nami nitailipizia kisasi damu ya watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yehova ambao Yezebeli aliwaua.*+
-