Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+

  • 1 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya hayo, jambo fulani lilitendeka kuhusiana na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli; lilikuwa Yezreeli,+ kando ya jumba la Mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kule Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+

      Ahazia* mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda alishuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu+ mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki