Yoshua 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+ 1 Wafalme 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya hayo, jambo fulani lilitendeka kuhusiana na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli; lilikuwa Yezreeli,+ kando ya jumba la Mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria. 2 Mambo ya Nyakati 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kule Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+ Ahazia* mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda alishuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu+ mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*+
17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+
21 Baada ya hayo, jambo fulani lilitendeka kuhusiana na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli; lilikuwa Yezreeli,+ kando ya jumba la Mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.
6 Akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kule Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+ Ahazia* mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda alishuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu+ mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*+