1 Samweli 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wafilisti wakakusanyika na kwenda kupiga kambi Shunemu.+ Basi Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga kambi Gilboa.+ 1 Wafalme 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakatafuta msichana mrembo katika eneo lote la Israeli, wakampata Abishagi,+ Mshunamu,+ wakamleta kwa mfalme. 2 Wafalme 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku moja Elisha alienda Shunemu,+ na huko kulikuwa na mwanamke mmoja maarufu, mwanamke huyo akamsihi sana ale chakula huko.+ Na kila mara alipopita mahali hapo, alikuwa akiingia mahali hapo kula chakula.
4 Wafilisti wakakusanyika na kwenda kupiga kambi Shunemu.+ Basi Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga kambi Gilboa.+
3 Wakatafuta msichana mrembo katika eneo lote la Israeli, wakampata Abishagi,+ Mshunamu,+ wakamleta kwa mfalme.
8 Siku moja Elisha alienda Shunemu,+ na huko kulikuwa na mwanamke mmoja maarufu, mwanamke huyo akamsihi sana ale chakula huko.+ Na kila mara alipopita mahali hapo, alikuwa akiingia mahali hapo kula chakula.