1 Wafalme 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adoniya akasema: “Tafadhali, mwombe Mfalme Sulemani—kwa maana hawezi kukataa ombi lako—anipe Abishagi,+ Mshunamu, awe mke wangu.” 1 Wafalme 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+
17 Adoniya akasema: “Tafadhali, mwombe Mfalme Sulemani—kwa maana hawezi kukataa ombi lako—anipe Abishagi,+ Mshunamu, awe mke wangu.”
22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+