Yoshua 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+ 2 Wafalme 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku moja Elisha alienda Shunemu,+ na huko kulikuwa na mwanamke mmoja maarufu, mwanamke huyo akamsihi sana ale chakula huko.+ Na kila mara alipopita mahali hapo, alikuwa akiingia mahali hapo kula chakula.
17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+
8 Siku moja Elisha alienda Shunemu,+ na huko kulikuwa na mwanamke mmoja maarufu, mwanamke huyo akamsihi sana ale chakula huko.+ Na kila mara alipopita mahali hapo, alikuwa akiingia mahali hapo kula chakula.